Kanusho (Disclaimer)
Taarifa zote zinazotolewa kwenye Mwalimu wa Digitali ni kwa madhumuni ya elimu na maarifa ya jumla pekee.
Usahihi wa Taarifa
Tunajitahidi kuhakikisha maudhui yote yanayotolewa ni sahihi na ya kuaminika, hata hivyo:
-
Hatuwezi kuthibitisha kuwa taarifa zote ni kamili au hazina makosa
-
Mabadiliko ya mitaala, sera au ratiba za mitihani yanaweza kutokea bila taarifa
Mabadiliko mbalimbali ya teknolojia na udhaifu wa vyanzo vingine unaweza kuathiri usahihi wa taarifa.
Baadhi ya taarifa zinachukuliwa kutoka vyanzo mchanganyiko ili kuweza kuleta taarifa fupi yenye ubora zaidi.
NECTA na Taasisi Nyingine
Mwalimu wa Digitali sio sehemu ya NECTA wala taasisi yoyote ya serikali. Tunatoa taarifa za elimu kwa madhumuni ya kufundisha na kuelekeza tu.
Uwajibikaji
Hatutawajibika kwa hasara yoyote itakayojitokeza kutokana na matumizi ya taarifa zilizopo kwenye blog hii. Mtumiaji anashauriwa kuthibitisha taarifa muhimu kupitia vyanzo rasmi.
Comments
Post a Comment